• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DC Kongwa aahidi kuitendea haki imani ya Rais kwa vijana

Imewekwa tarehe: June 26th, 2021

MKUU mpya wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remedius Emmanuel ameapishwa rasmi mwanzoni mwa juma hili Jijini Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka ili kuanza kuiongoza Wilaya hiyo iliyo miongoni mwa Wilaya saba zinazounda Mkoa wa Dodoma ambao ni Makao Makuu ya Nchi.

Akitoa shukurani zake mbele ya Mkuu wa Mkoa na hadhara iliyohudhuria hafla ya uapisho huo Mhe. Emmanuel alisema, “Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kupata nafasi hii, nimshukuru pia Mheshimiwa Rais mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa kuniamini kuwa miongoni mwa vijana wachache katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuniteua na kuniamini kuwa Mkuu wa Wilaya nitayoiongoza na kumuwakilisha katika ardhi ya Wilaya ya Kongwa, Namshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa imani hiyo;

Kazi yangu ni moja kubwa kabisa kwenda kutekeleza ile imani ambayo Mheshimiwa Rais ameionesha kwangu kama kijana na hivi karibuni alisema atachagua vijana, na mimi ni miongoni mwa hao vijana. Kazi yangu ni moja, kuhakikisha yale aliyoyaahidi, dira ya Mheshimiwa Rais, maono ya mheshimiwa Rais, matarajio ya mheshimiwa Rais, mategemeo ya Mheshimiwa Rais, mategemeo ya Mheshimiwa Rais kwenda kuyatekeleza katika Wilaya ya Kongwa” alisema DC Emmanuel kwa kujiamini.

Mkuu huyo wa Wilaya alimshukuru pia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mtaka na kumuahidi ushirikiano mkubwa huku akikumbusha kuwa tangu Mkuu huyo ameanza kuongoza Mkoa wa Dodoma tayari ameshatoa maelekezo na kuonesha dira ya mkoa wa Dodoma, hivyo atashirikiana naye katika kutekeleza malengo mkoa kwa kuwa Kongwa ni sehemu ya mkoa wa Dodoma.

Hafla ya kuwaapisha wakuu wapya wa Wilaya ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwemo wakuu wa Wilaya zingine za Mkoa wa Dodoma, Wakurugenzi, viongozi wa Dini na wananchi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.