• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC yawanasa kiungo, kipa wa Stars, mfungaji bora Ligi Kuu

Imewekwa tarehe: August 7th, 2020

Uongozi wa timu ya soka ya Dodoma Jiji FC imeanza rasmi mbio za usajili kwa kuwasajili wachezaji watatu kutokea katika vilabu tofauti vya soka Tanzania bara.

Hayo yamebainishwa na Afisa Habari wa timu hiyo Ramadhani Juma kwenye taarifa yake kwa vyombo vya Habari ambayo imeorodhesha majina ya wachezaji walioachwa, walio ongezewa mikataba na wageni kutoka vilabu vingine nchini.

Juma amesema kuwa wachezaji wapya waliosajiliwa na timu hiyo inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma ni Cleophace Mkandala kutokea Tanzania Prisons ambaye pia anachezea timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars), Michael Chinedu kutoka Alliance pamoja na Seif Karie kutokea Lipuli wote wakisajiliwa kama wachezaji huru.

Akizungumzia wachezaji walioachwa Juma amesema ni Pamoja na Yusuf Abdul, Joseph Mapembe, Hamadi Kibopile, Rajabu Kibera, Joshua Soka, Aziz Gillah, Shabani Mocka, James Mendy, Ismail Makorosa, Moshi Mrisho, Mohamed Kilua na Ramadhani Mohamed ambaye amerejeshwa Azam FC baada ya mkataba wake wa mkopo kumalizika.

Vilevile, amewataja wachezaji walioongezewa mikataba kuwa ni Emmanuel Mseja, Hussein Masalanga, Anderson Solomon, Hassan Kapona, Mbwana Kibacha, Rajabu Seif, Steven Mganga, Jamal Mtegeta,Deusdelius Kigawa, Santos Thomas,  na Khamis Mcha.

Aidha Juma amesema kuwa zoezi la usajili bado linaendelea na uongozi utaendelea kutoa taharifa Zaidi kuhusuana na usajili ndani ya miamba hiyo ya soka Jijini Dodoma.

Kiungo Cleophas Mkandala aliyekuwa timu ya Tanzania Prisons ya Mbeya amemwaga wino kuichezea timu ya Dodoma Jiji FC kwa mkataba wa miaka miwili. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Dodoma Jiji FC Fortunatus Johnson wakati wa utiaji saini katika ofisi za Jiji la Dodoma.


Golikipa wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) aliyechezo machindano ya AFCON Aaron Kalambo aliyekuwa Mbeya City FC rasmi amesajiriwa na timu ya Dodoma Jiji FC. Pembeni kushoto ni Dickson Kimaro na kulia ni Ally Kheri Mohamed ambao ni viongozi wa Dodoma Jiji.


Mshambuliaji mahiri Michael Chinedu aliyekuwa Allience ya Mwanza akikamilisha taratibu za kujiunga na timu ya Dodoma Jiji FC jijini Dodoma leo.


Seif Karie mshambuliaji aliyekuwa akikipiga katika timu ya Lipuli FC ya Iringa sasa rasmi ametua Dodoma Jiji FC tayari kwa Ligi Kuu ya Vodacom 2020/2021.


Mfungaji bora namba 2 wa Ligi Kuu ya Tanzania bara msimu wa 2019/2020 Peter Mapunda ametua rasmi Dodoma Jiji FC akitokea Mbeya City FC kwa mkataba wa miaka miwili. Kushoto ni Afisa Habari wa Dodoma Jiji FC Ramadhani Juma na kulia ni kiongozi wa Ally Kheri Mohamed wakishuhudia.


Kiongozi wa Dodoma Jiji FC Fredrick Mwakisambwe akibadilishana nakala ya mkataba na mchezaji mpya wa Dodoma Jiji FC Aaron Kalambo aliyekuwa Mbeya City FC kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.